LIVERPOOL YAISHUSHA ARSENAL

Arsenal wameshindwa kubaki katika nafasi ya nne jana usiku baaada kukubali kichapo cha magoli matatu kwa moja kutoka kwa Liverpool. magoli ya Liverpool yalifungwa na Firmino dakika ya 9, Mane dakika ya 40 na Wijnaldum dakika ya 90 huku goli la Arsenal likifungwa na Welbeck dakika 57. Kwa matokeo hayo Liverpool inashika nafasi ya tatu huku Arsenal kushuka mpaka nafasi ya tano.

Comments

mhinda blog

Popular posts from this blog

VIKOSI VITAKAVYOCHEZA FC PORTO VS JUVENTUS HIVI HAPA