AZAM YAICHAPA STAND UNITED 2-0

Timu ya soka ya wana lamba lamba yani Azam imelipa kisasi kwa kuichapa timu ya Stand United chama la wana kwa jumla ya mabao mawili kwa sifuri magoli hayo yalifungwa na SURE BOY kwa shuti kali la mbali na goli la pili alifunga beki yakubu.

Comments

mhinda blog

Popular posts from this blog

VIKOSI VITAKAVYOCHEZA FC PORTO VS JUVENTUS HIVI HAPA